DIT YAPONGEZWA KWA KUTOA WAHITIMU MAHIRI KATIKA SEKTA YA TEKNOLOJIA YA UTENGENEZAJI WA BIDHAA ZA NGOZI NA SAYANSI YA MAABARA KATIKA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI

Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia QS Omary Kipanga ameipongeza Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kwa kuendelea kutoa Elimu Bora na wahitimu mahiri wenye uwezo wa kutatua changamoto mbalimbali za kijamii kupitia Ujuzi wanaoupata wakiwa mafunzoni.



Naibu Waziri amesema hayo, Desemba 13, 2024 akimwakilisha Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Faustine Mkenda katika Mahafali ya kumi na nane Duru ya pili katika kampasi ya DIT Mwanza.



Mhe, Kipanga amesema Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, inajivunia maboresho yanaofanyika katika sekta ya elimu ili kuzalisha wataalam wanaoajirika, kujiajiri na kutengeneza ajira kwa wengine.



Mwenyekiti wa Baraza la Taasisi la DIT, Mhandisi,Dkt. Richard Masika, ameunga mkono hoja ya uboreshaji sekta ya elimu, huku akiishukuru serikali kwa kuanzisha kituo cha ujasiriamali, ubunifu, uhaulishaji wa teknolojia pamoja na malezi ya kampuni kwa Taasisi yake ya DIT

Go Back

©  Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. Haki zote zimehifadhiwa.

Error | Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Error

Error message

  • Warning: Cannot modify header information - headers already sent by (output started at /data/moego/public_html/includes/bootstrap.inc:1692) in drupal_send_headers() (line 1551 of /data/moego/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • PDOException: SQLSTATE[HY000]: General error: 1114 The table 'accesslog' is full: INSERT INTO {accesslog} (title, path, url, hostname, uid, sid, timer, timestamp) VALUES (:db_insert_placeholder_0, :db_insert_placeholder_1, :db_insert_placeholder_2, :db_insert_placeholder_3, :db_insert_placeholder_4, :db_insert_placeholder_5, :db_insert_placeholder_6, :db_insert_placeholder_7); Array ( [:db_insert_placeholder_0] => DIT YAPONGEZWA KWA KUTOA WAHITIMU MAHIRI KATIKA SEKTA YA TEKNOLOJIA YA UTENGENEZAJI WA BIDHAA ZA NGOZI NA SAYANSI YA MAABARA KATIKA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI [:db_insert_placeholder_1] => node/2486 [:db_insert_placeholder_2] => [:db_insert_placeholder_3] => 216.73.216.72 [:db_insert_placeholder_4] => 0 [:db_insert_placeholder_5] => [:db_insert_placeholder_6] => 21 [:db_insert_placeholder_7] => 1782375105 ) in statistics_exit() (line 91 of /data/moego/public_html/modules/statistics/statistics.module).
The website encountered an unexpected error. Please try again later.