
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Januari 8, 2026 amekagua Jengo la Taaluma na Utawala la Taasisi ya Sayansi za Bahari Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM-IMS) lililopo eneo la Buyu Wilaya ya Mjini Magharibi B, Visiwani Zanzibar.


