Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda aungana na Viongozi mbalimbali wa Kitaifa wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar kuaga mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi, ambaye alifariki Dunia Februari 29, 2024 katika Hospital ya Mzena jijini Dar es Salaam.
Habari
- 1 PAKUA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025
- 2 Dk Said Mohammed akiingia Bungeni kufuatilia uwasilishaji wa Hotuba ya Bajeti
- 3 Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia 2024/25
- 4 Mhe. Omari Kipanga akiingia katika viwanja wa Bunge tayari kwa uwasilishwaji wa Hotuba ya Bajeti
- 5 Viongozi mbalimbali wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wakiingia Bungeni tayari kusikiliza hotuba ya bajeti
- 6 Viongozi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wakiingia Bungeni