Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda aungana na Viongozi mbalimbali wa Kitaifa wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar kuaga mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi, ambaye alifariki Dunia Februari 29, 2024 katika Hospital ya Mzena jijini Dar es Salaam.
Habari
- 1 Biteko Apongeza Mdahalo Kumuenzi Hayati Sokoine
- 2 Dkt. Biteko Mgeni Rasmi Mdahalo wa Kumbukizi Miaka 40 ya Hayati Sokoine
- 3 Prof Adolf Mkenda na viongozi mbalimbali wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza mazungumzo na Waziri wa Maendeleo na Afrika wa Uingereza
- 4 Mchango wa Wadau wa Maendeleo ni Mkubwa katika Mageuzi ya Elimu - Prof. Mkenda
- 5 Viongozi wakifurahi pamoja na wanafunzi kwenye Mkutano wa Mwaka wa Pamoja wa Tathmini ya Sekta ya Elimu
- 6 Tanzania na Uingereza Kuendelea Kushirikiana Kuimarisha Sekta ya Elimu