Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inajivunia mchango wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) katika Sekta ya elimu.

Tunapoadhimisha miaka 50 ya Baraza hilo tunaendelea kukupatia elimu kuelekea utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2023 Toleo la 2023 na mabadiliko ya Mitaala ya elimu.

Pamoja na masuala mengine yanayohusu Elimu karibu Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam tuzungumze.