Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea Tuzo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ya kutambua mchango wake katika kuleta maridhiano nchini iliyotolewa wakati wa Kongamano la Kwanza la Kimataifa la Kukuza Diplomasia ya Kitamaduni, Lugha na Kiuchumi kwa Mustakabali Endelevu linalofanyika Februari 20, 2024 Jijini Dar es Salaam