Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda wameshawasili katika Kongamano la Kwanza kuhusu Dhima ya Lugha za Asili katika kujenga Tamaduni- Mtambuka, Diplomasia ya Kiisimu ya Kiuchumi linalofanyika Februari 20, 2024 Jijini Dar es Salaam.