Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo leo Januari 26,2024 amekabidhi magari kwa Baraza la Mitihani Tanzania, Taasisi ya Elimu Tanzania na Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu kwa ajili ya kuhakikisha ufatiliaji wa utekelezaji wa shughuli za elimu nchini