
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda Januari 8, 2026 Visiwani Zanzibar akikagua maandalizi ya uzinduzi wa Jengo la Taaluma na Utawala la Taasisi ya Sayansi za Bahari
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM-IMS) eneo la Buyu Wilaya ya Mjini Magharibi B, Zanzibar litakalozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu


