Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda akimkabidhi Mshindi wa Jumla wa Tuzo za Uandishi wa Habari za Sayansi na Teknolojia upande wa kilimo Tinsae Sinabe kutoka Shirika la Utangazaji la Ethiopia (EBC).

Mshindi huyo amepatiwa zawadi ya cheti cha Ushindi na hundi Dola za Marekani 3,500