PROF. NOMBO: KONGAMANO LA MIAKA 50 NI FURSA YA TATHMINI NA MWELEKEO WA ELIMU YA WATU WAZIMA
Prof. Carolyne Nombo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, amesema kuwa Kongamano la Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima limeandaliwa kwa lengo la kufanya tathmini ya mafanikio, changamoto na mwelekeo wa baadaye wa elimu ya watu wazima nchini.



