WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA VITUO VYA UMAHIRI KUPATA UJUZI WA SEKTA ZA KIPAMBELE
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Omar, ametoa wito kwa Watanzania gususan Vijana kutumia kikamilifu fursa ya kuwepo kwa Vituo vya Umahiri ili kupata ujuzi utakaowawezesha kubobea katika sekta muhimu za kiuchumi.
WIZARA YA ELIMU NA TAASISI YA FLAVIANA MATATA WAJA NA USHIRIKIANO KUBORESHA ELIMU NA AFYA KWA WASICHANA
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Taasisi ya Flaviana Matata Foundation leo, Agosti 7, 2025, wamekutana jijini Dodoma kujadili rasimu ya makubaliano ya ushirikiano wa kimkakati unaolenga kuimarisha sekta za elimu, afya na mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia kwa watoto wa kike nchini.

PARTIAL SCHOLARSHIPS TENABLE IN THE PEOPLE’S DEMOCRATIC REPUBLIC OF ALGERIA FOR THE ACADEMIC YEAR 2025-2026
PROF. ADOLF MKENDA, AMETANGAZA RASMI UZINDUZI WA TUZO YA UANDISHI BUNIFU KWA KISWAHILI
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza rasmi uzinduzi wa Tuzo ya Uandishi Bunifu kwa Kiswahili, akitoa wito kwa waandishi kuwasilisha miswada yao kwa Kamati ya Kitaifa ya Tuzo.

Prof.Mkenda ametangaza uzinduzi huo Agosti 6, 2025 Jijini Dar es Salaam wakati wa Mkutano wa waandishi wa habari baada ya kikao cha awali na wadau wa uandishi bunifu kujadili maboresho ya tuzo hizo.
TAWOSCO MGUU SAWA UTEKELEZAJI SERA NA MITAALA MIPYA
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amekutana na viongozi wa. Umoja wa Wanawake Wamiliki wa Shule na Vyuo( TAWOSCO) ambapo umoja huo wameeeleza kuwa tayari kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutelekeleza Sera na Mitaala mipya ya Elimu.
KITUO CHA UMAHIRI CHA NISHATI JADIDIFU KIKULETWA CHACHU YA MAENDELEO KIUCHUMI
TANZANIA NA ITALIA KUIMALISHA TAASISI ZA ELIMU YA UFUNDI KUPITIA MRADI WA TELM
Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Italia kupitia Mradi wa TELMS II, imeazimia kuendeleza mageuzi katika elimu ya ufundi kwa kuziimarisha Taasisi za elimu ya ufundi ili kuchochea maendeleo endelevu nchini.

