PROF. NOMBO ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA JENGO JIPYA LA COSTECH JIJINI DODOMA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo ameeleza kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa jengo jipya la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) linaloendelea kujengwa jijini Dodoma. Septemba 10, 2025 mara baada ya kukagua maendeleo ya mradi huo.

