TEKNOLOJIA NI NYENZO YA KUIMARISHA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI
Mkurugenzi wa Uthibiti Ubora wa Shule Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ephraim Simbeye, amewataka Maafisa Elimu nchini kutumia kikamilifu teknolojia katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku katika utoaji wa elimu bora.

