TAARIFA KWA UMMA KUHUSU FURSA YA UFADHILI WA MASOMO KWA WANACHUO WA STASHAHADA YA UALIMU ELIMU MAALUMU KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

 

1.0    UTANGULIZI

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatangaza fursa ya Ufadhili wa Masomo ngazi ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu Maalumu. Maombi yanakaribishwa kwa wanachuo wanaosoma, Stashahada ya Elimu maalumua katika maeneo yafuatayo: Ulemavu wa Akili, Usonji, Uziwi, Uziwi Kutoona na Ulemavu wa Uoni. 

2.0      SIFA ZA KUPATA UFADHILI

Ufadhili huu utatolewa kwa wanafunzi wenye sifa zifuatazo:

Swahili

TANGAZO LA UFADHILI WA MASOMO KATIKA FANI ZA NYUKLIA KWA WANAWAKE KATIKA NGAZI YA UMAHIRI KUPITIA PROGRAMU YA IAEA MARIE SKLODOWSKA CURIE FELLOWSHIP

Wizara kupitia Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) inatangaza ufadhili wa masomo ya fani za nyuklia kwa wanawake katika ngazi ya Umahiri kupitia Programu ya IAEA Marie Sklodowska Curie Fellowship (MSCFP) kwa mwaka wa masomo 2024/25 hadi 2025/2026.

Swahili

SERIKALI YAENDESHA KIKAO CHA 8 CHA KAMATI YA MAENDELEO YA SEKTA YA ELIMU

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imefanya Kikao cha 8 cha Kamati ya Maendeleo ya Sekta ya Elimu (ESDC) Machi 31, 2026 jijini Dodoma katika Ofisi za Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA).



Kikao hicho kiliongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Hussein Omar, ambapo wajumbe walijadili kwa kina masuala mbalimbali yanayolenga kuimarisha sekta ya elimu nchini.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS