Mhe. Omari Kipanga akipata maelezo juu ya fursa za ufadhili wa masomo zinazopatikana katika balozi mbalimbali hapa nchini

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omari Kipanga akipata maelezo juu ya fursa za ufadhili wa masomo zinazopatikana katika balozi mbalimbali hapa nchini kabla ya kufungua mkutano wa wadau hao uliofanyika Jijini Dar es Salaam

Swahili

Serikali imesema kuwa ipo tayari kushirikiana na Taasisi yeyote katika kuhakikisha vijana na wanataaluma wanapata fursa za kusoma nje ya nchi

Serikali imesema kuwa ipo tayari kushirikiana na Taasisi yeyote katika kuhakikisha vijana na wanataaluma wanapata fursa za kusoma nje ya nchi.

Haya yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omari Kipanga Januari 28, 2024 Jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau wa elimu na mabalozi wa nchi mbalimbali wa kujadili fursa za ufadhili wa masomo katika nchi zao.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS