Prof. Nombo amekutana na Watumishi wa WyEST katika Kikao Kazi cha mwaka kujadili masuala mbalimbali ya Wizara hiyo.

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo leo Februari 14, 2024 jijini Dodoma amekutana na Watumishi wa Wizara hiyo katika Kikao Kazi cha mwaka kujadili masuala mbalimbali ya Wizara hiyo.



Awali katika salamu za Ufunguzi wa kikao kazi hicho Prof. Nombo ameeleza kuwa mafanikio yanayoonekana katika Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yametokana na juhudi za Watumishi wote ambao wamewajibika kikamilifu.

Swahili

Mhe. kipanga yupo Abu Dhabi kushiriki Mkutano wa UNESCO kuhusu Elimu ya Utamaduni na Sanaa

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omari Kipanga yupo Abu Dhabi, Falme za Kiarabu kwa lengo la kushiriki Mkutano wa UNESCO kuhusu Elimu ya Utamaduni na Sanaa.



Mkutano huo wa siku tatu ulioanza tarehe 13 hadi 15 Februari 2024, utatoa fursa kwa wajumbe kutoka nchi wanachama kupitishwa katika Kiunzi cha Elimu ya Utamaduni na Sanaa ( Framework for Culture and Arts Education).

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS