Ndejembi ashuhudia Majaribio ya Mfumo wa Smart Classroom kukabiliana na Uhaba wa Walimu

Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Deogratius Ndejembi ametembelea na kuzindua majaribio ya mfumo wa ufundishaji mubashara "Live Teaching" ambao utawezesha wanafunzi wa shule mbalimbali nchini kuunganishwa na mwalimu anayefundisha katika shule ya Sekondari Kibaha ili kukabiliana na changamoto ya uhaba walimu nchini.

Swahili

Prof. Mkenda ameungana na viongozi mbalimbali kushiriki kikao kati ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango na Makamu wa Rais wa Cuba

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda leo Januari 24,2024 ameungana na viongozi mbalimbali kushiriki kikao kati ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango na Makamu wa Rais wa Cuba, Mhe. Salvador Mesa, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Swahili

Mhe. Kipanga amekutana Mkurugenzi wa Shirika la Nutrition International Dr. George Mwita

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia amekutana na Uongozi wa Shirika la Nutrition International ukiongozwa na Mkurugenzi wa Shirika hilo Dr. George Mwita.



Viongozi hao wamefika kutambulisha Shirika hilo na miradi wanayotekeleza inayogusa sekta ya Elimu ambapo walengwa wake wakuu ni vijana wa umri wa balehe ambao wengi wao ni wanafunzi.

Kikao hicho kimehudhuriwa pia na Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara Bw. Atupele Mwambene.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS