Elimu Bulletin Na 31
Elimu Bulletin Na 30
CALL FOR APPLICATIONS FOR THE 2024 SUMMER SCHOOL ON 'BIM FOR SUSTAINABLE DEVELOPMENT, PARIS - FRANCE, 08TH - 19TH JULY, 2024
Tumeongeza Bajeti Mikopo ya Elimu ya Juu Sasa ni Bilioni 738.7
Elimu Bulletin Na 29
Viongozi Mbalimbali wa Wizara wakiongozwa na Kamishna wa Elimu wakifuatilia Uwasilishwaji taarifa za Kamati ya Kadumu ya Bunge ya Elimu
Viongozi Mbalimbali wa Wizara wakiongozwa na Kamishna wa Elimu wakifuatilia Uwasilishwaji taarifa kuhusu shughuli za Kamati ya Kadumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Husna Sekiboko Bungeni leo Februari 7, 2024.
Prof Adolf Mkenda na Naibu Waziri Omari Kipanga wakifutilia Uwasilishaji taarifa kuhusu shughuli za Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda na Naibu Waziri Omari Kipanga wakifutilia Uwasilishaji taarifa kuhusu shughuli za Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo ikiwasilishwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Husna Sekiboko.

Ubalozi wa Uingereza na Wizara ya Elimu Kuimarisha Mfumo wa Utekelezaji Miradi
Ubalozi wa Uingereza Nchini umejipanga kuimarisha mfumo wa utekelezaji miradi wanayofadhili katika sekta ya Elimu nchini ili iendani na Mageuzi ya Elimu nchini.

Hayo yamesemwa na Naibu Balozi na Mkurugenzi wa Maendeleo- Ubalozi wa Uingereza Nchini Bibi Kemmy Williams ambae amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda Jijini Dodoma.
Prof. Carolyne Nombo ameongoza kikao kati ya Wataalamu kutoka UNICEF na Wizara kujadili masuala mbalimbali ya uboreshaji wa elimu nchini.
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo ameongoza kikao kati ya Wataalamu kutoka UNICEF na Wizara kujadili masuala mbalimbali ya uboreshaji wa elimu nchini.

