Dr. Daniel Baheta ameipongeza Serikali ya Tanzania kuona kwamba sera mpya inatambua umuhimu wa elimu katika maisha ya mtu
Mkuu wa Kitengo cha Elimu Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) Dr. Daniel Baheta ameipongeza Serikali ya Tanzania kuona kwamba sera mpya inatambua umuhimu wa elimu katika maisha ya mtu, pamoja kuweka msisitizo wa utoaji wa elimu ya watu wazima kama sehemu ya msingi ya kujifunza kwa watu wote.







