PROF. MUSHI ASISITIZA KUANDAA PROGRAMS ZA KUVUTIA NA ZENYE TIJA CHUO KIKUU CHA SUA KAMPASI YA MIZENGO PINDA KATAVI

Naibu Karibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Daniel Mushi Septemba 19, 2025 amekagua maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa ujenzi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)
Kampasi ya Mizengo Pinda Katavi.



Mradi huo unatekelezwa chini ya Mradi wa Elimi ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) Kwa gharama ya Sh. bilioni 17.4

Swahili

SERIKALI YA TANZANIA YAJIVUNIA KUTEKELEZA MIRADI YA ELIMU YA WATU WAZIMA KWA MAFANIKIO

Serikali ya Tanzania inajivunia kutekeleza miradi mbalimbali kwa mafanikio ikiwemo, mradi wa elimu ya Sekondari Nje ya Mfumo Rasmi, ambapo katika mwaka wa masomo 2025 wanafunzi wapatao 18,886 wavulana 8,648 Wasichana 10239 wamedahiliwa.



Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kisomo Kimataifa na Juma la Elimu ya Watu Wazima Septemba 19, 2025, akimwakilisha Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.

Swahili

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUFIKISHA ELIMU KWA WADAU KUHUSU UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NYUKLIA NCHINI

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia TAEC itahakikisha elimu na taarifa kuhusu utekelezaji wa miradi ya nguvu za nyuklia ikiwemo mradi wa kimkakati wa uzalishaji umeme wa nyuklia zinapatikana na kutolewa kwa wadau wote.



Hayo yameelezwa na katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo septemba 2025 Viena Austria katika kikao maalum kati ya Tanzania na Mkuu wa Sehemu ya Maendeleo ya Miundombinu ya Nyuklia wa IAEA, Bi. Liliya Dulinets.

Swahili

PROF. MUSHI AKAGUA MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA KISOMO KIMATAIFA MPANDA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Daniel Mushi Septemba 18, 2025 amekagua maandalizi ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kisomo Kimataifa na Juma la Elimu ya Watu Wazima yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Kashaulili Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi.



Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS