Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Kigamboni (FDC)

Zoezi la upandaji wa Miti 250 kiwilaya lililofanyika katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Kigamboni, kata ya Somangila Wilayani humo.



lengo la kupanda Miti katika eneo hilo ni utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan la kuhakikisha kila Wilaya nchini Tanzania inapanda miti 1,500,000 ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Swahili

QS Kipanga ziara VETA za Kibiti, Mkuranga Pwani Afurahishwa na Usimamizi wa Miradi hiyo


PWANI

Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe. Omari Kipanga amewahimiza wasimamizi wa mradi wa Ujenzi wa VETA ya Wilaya ya Kibiti na Mkuranga kukamilisha hatua kwa Hatua na kufuata Kanuni za Ujenzi wa Miradi Hiyo kwa wakati na kuwataka kufanya marekebisho katika maeneo yenye Changamoto zilizobainika.

Mhe. Kipanga ametoa rai hiyo March 26, 2024, akiwa katika ziara ya Kukagua na kufanya tathmini ya ujenzi wa VETA hizo ikiwa ni miongoni Mwa VETA 63 zinazojengwa na Serikali nchini.

Swahili

Prof Adolf Mkenda ameshiriki kikao cha pamoja chenye lengo la kujadili namna ya kuongeza kasi ya utekelezaji wa mipango na miradi

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda ameshiriki kikao cha pamoja kati ya Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba na Mawaziri wa Wizara mbalimbali leo jijini Dodoma.

Kikao hicho kililenga kujadili namna ya kuongeza kasi ya utekelezaji wa mipango na miradi yenye kutoa huduma kwa wananchi na maendeleo katika sekta mbalimbali.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS