Mshindi wa Nobel Mgeni Rasmi Tuzo Uandishi Bunifu 2024, zaidi ya 200 Wajitokeza Kuwania
April 13 mwaka 2024 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amekutana na kamati iliyoundwa na Wizara kuendesha Tuzo ya Uandishi Bunifu na Uongozi wa Taasisi ya Elimu Tanzania(TET) kujadili maandalizi ya Tuzo kwa Mwaka 2024.
Kuelekea Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2024
Mradi huu umeleta historia katika kuijenga Tanzania ya kidijitali kupitia elimu_Dkt. Emmanuel
Serikali na Airtel kuwezesha ufundishaji na ujifunzaji kidigitali katika shule za sekondari
AIRTEL YAINGIA MAKUBALIANO NA WIZARA YA ELIMU YA UTEKELEZAJI MRADI WA AIRTEL SMARTWASOMI
Airtel yaingia Makubaliano na Wizara ya Elimu Juu ya Utekelezaji Mradi wa Airtel Smart Wasomi
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema Mradi wa Airtel Smart Wasomi umekuja wakati muafaka, wakati Serikali ikitekeleza Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 Toleo la 2023 ambapo matumizi ya Tehama katika mifumo ya Elimu yamepewa kipaumbele.
Picha mbalimbali za tukio la utiaji saini makubaliano kati ya Wizara ya Elimu, OR TAMISEMI na Airtel Tanzania
Picha mbalimbali za tukio la utiaji saini makubaliano kati ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Kampuni ya Airtel Tanzania ya utekelezaji Mradi ya Airtel Smart Wasomi.
Prof. Nombo ameongoza kikao kati ya Wizara ya Elimu, NMB BANK na NMB Foundation
Katibu Mkuu Prof. Nombo ameongoza kikao kati ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia , NMB BANK, NMB Foundation walioambatana na mshirika wao kutoka Shirika la "Save the Children"
ambapo wajadiliana namna ya kushirukiana katika utekelezaji wa mipango ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

