ESIA REPORT FOR DUCE

ENVIRONMENTAL AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT FOR THE PROPOSED CONSTRUCTION OF POSTGRADUATE BUILDING WITH SCIENCE RESEARCH LABORATORY AND FACULTY OF HUMANITIES WITH LECTURE ROOMS AND ROOMS FOR SPECIAL STUDENTS LOCATED AT PLOT NO. 324 & 325 BLOCK ‘T’, NATIONAL STADIUM STREET, MIBURANI WARD, TEMEKE MUNCIPAL IN DAR ES SALAAM

Swahili

Prof. Adolf Mkenda amekutana na ujumbe kutoka Benki ya Dunia uliongozwa na Meneja wa Masuala Elimu wa Kanda Afrika Mashariki

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amekutana na ujumbe kutoka Benki ya Dunia uliongozwa na Meneja wa Masuala Elimu wa Kanda Afrika Mashariki na Kusini Bi. Muna Salih Meky kuzungumzia mageuzi mbalimbali ya Elimu Nchini ikiwemo utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014 Toleo la 2023 na Mitaala Mipya ya Elimu.

Swahili

Walimu ndio Kitovu cha Mafanikio ya Mitaala Iliyoboreshwa

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema kuwa, ili kuwe na mafanikio katika utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mitaala lazima kuwekeza katika kada ya Ualimu.



Prof. Nombo amesema hayo wakati akifungua kikao kazi kati ya Serikali, Shirika lisilo la Kiserikali la Mastercard Foundation na Wadau wa Sekta ya Elimu kwa lengo la kujadili namna ya kuimarisha kada ya ualimu kilichofanyika Machi 18, 2024 Jijini Dar es Salaam.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS