VIJANA WANA MCHANGO MKUBWA KATIKA UCHUMI NA AMANI - BASHUNGWA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Innocent Bushungwa, amesema Vijana wana nafasi kubwa ya kushiriki katika kukuza Uchumi na kudumisha amani iwapo watalelea na kukuzwa katika Maadili mema.



