MAHITAJI YA BINADAMU YAZINGATIWE KATIKA MASOMO YA MAENDELEO - PROF. MKENDA
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda amesema kuwa Masomo ya Maendeleo (Development Studies) yanapaswa kusaidia nchi zinazoendelea kufahamu mahitaji ya watu wao, kubaini mizizi ya changamoto na kuleta suluhisho jumuishi na endelevu

Hayo yamesemwa na Prof Daniel Mushi kwa niaba ya Waziri huyo Disemba 10 2024, Mkoani Morogoro wakati wa kufungua Mkutano wa Kimataifa wa Tatu wa Masomo ya Maendeleo ulioandaliwa na Chuo Kikuu cha Mzumbe,

