Tumieni Ujuzi, Maarifa na Ubunifu mlioupata kwenye Mafunzo haya ili Utekelezaji wa Mtaala wa Elimu ya Amali uwe na Tija kwa Taifa

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Wilson Mahera amesema katumieni Maarifa, Ujuzi na Ubunifu wote mlioupata katika Mafunzo haya kwa kutekeleza kwa vitendo katika kuwawezesha wadau wote wa Elimu waliopo kwenye maeneo yanayowazunguka ili utekelezaji wa Mtaala wa Elimu ya Amali Sekondari ulete Tija kwa Taifa

Swahili

SERIKALI KUWATAMBUA WATAFITI WANAOTATUA CHANGAMOTO KATIKA JAMII

Na WyEST Dar es Salaam

Serikali imesema itaendelea kuwatambua wanasayansi waliofanya tafiti zenye mchango wa kutatua changamoto katika jamii.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo Disemba 02, 2024 jijini Dar es Salaam katika Kongamano na Maonesho ya Tisa ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu ambapo amesema Wizara kupitia Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kila mwaka itakuwa ikiwatambua wanasayansi wanaofanya tafiti katika sekta mbalimbali.

Swahili

SERIKALI YAANZISHA MPANGO WA MIKOPO NAFUU KUWASAIDIA WABUNIFU NCHINI

Na WyEST Dar es Salaam

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanzisha Mfuko wa Mikopo nafuu ya Ubiasharishaji Bunifu Tanzania utakaojulikana kwa Jina la *Samia Fund*

Hayo yameelezwa Jijini Dar es Salaa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda wakati wa ufunguzi wa Kongamano na Maonesho ya Tisa ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu ambapo amesema kuwa Mfuko huo uliopata fedha kutoka kwenye Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) utawasaidia vijana wabunifu kupata mitaji ya kuingiza sokoni bunifu zao.

Swahili

Dkt, Charles Wilson Mahera amepokea taarifa ya maeneo yaliyopendekezwa kwa ajili ya ufadhili wa ziada Kutoka mpango wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Elimu (GPE)

Naibu katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia anayeshughulikia Elimu Dkt, Charles Wilson Mahera amepokea taarifa ya maeneo yaliyopendekezwa kwa ajili ya ufadhili wa ziada Kutoka mpango wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Elimu (GPE).



Kikao hicho kimefanyika leo, Desemba 2, 2024, katika Ukumbi wa NSSF, Jijini Arusha, na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu

Swahili

SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES FOR THE ACADEMIC YEAR 2025/2026

 

  1. Call for Application

The General Public is hereby notified of the various scholarship opportunities available to eligible candidates intending to pursue studies abroad. Qualified candidates from Tanzania who are interested in the scholarships listed below are strongly encouraged to submit their applications online. Use the provided links associated with each scholarship for further details and application procedures.

 

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS