MRADI WA TESP KUWEKA MAZINGIRA MAZURI KATIKA UTOAJI WA ELIMU YA UALIMU VYUONI
MRADI WA TESP KUWEKA MAZINGIRA MAZURI KATIKA UTOAJI WA ELIMU YA UALIMU VYUONI
Mratibu wa Mradi wa Kuendeleza Elimu ya Ualimu (TESP), Mwl. Cosmas Mahenge, ameelezea mafanikio makubwa yaliyopatikana kupitia mradi huo, ikiwemo ongezeko la vitabu na vifaa vya kujifunzia na kufundishia kwa wakufunzi na wanafunzi.



