ELIMU YA AWALI NI MSINGI KWA WATOTO

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Charles Mahera, leo Disemba 20, 2024 amezindua mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu wa Elimu ya Awali, yaliyofanyika katika Shule ya Sekondari Sokoine Memorial, mkoani Morogoro.

Mafunzo haya yanatekelezwa kupitia Programu ya BOOST kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Ofisi ya Rais-TAMISEMI, yakilenga kuboresha ubora wa elimu ya awali nchini.

Swahili

KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA, PROF. CAROLYNE NOMBO AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA ELIMU YA UALIMU

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, leo Disemba 19, 2024, Jijini Dar es Salaam amefungua Mkutano wa Wadau wa Elimu ya Ualimu. Mkutano huu unalenga kujadili utekelezaji wa Mradi wa Kuendeleza Elimu ya Ualimu (TESP) katika vyuo vya ualimu pamoja na utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mitaala iliyoboreshwa.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS