TAARIFA MUHIMU

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imeongeza muda wa Udahili wa Shahada ya Kwanza  katika Vyuo vya Elimu ya Juu Nchini. Dirisha la Udahili awamu hii ya Tatu na ya mwisho litafunguliwa kuanzia tarehe 6*hadi 10 Oktoba, 2025

Swahili

PROF. NOMBO KUSHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA MWALIMU DUNIANI WILAYA YA BUKOMBE

Bukombe, Geita Tarehe 03 Oktoba 2025, Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, anashiriki Maadhimisho ya Siku ya Mwalimu Duniani katika yanayofanyika katika Wilaya ya Bukombe, Mkoa wa Geita.



Aidha, amepata fursa ya kuona shughuli Mbalimbali zinazohusu ustawi wa Walimu katika baadhi ya mabanda ya maony4sho yaliyopo katika viwanja hivyo.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS