PROF. NOMBO ATOA WITO KWA CBE KUANZISHA KOZI MAALUM ZA ELIMU YA BIASHARA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, ametoa wito kwa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kuanzisha kozi maalum za muda mfupi na mrefu za Elimu ya Biashara.


