SERIKALI NA BENKI YA DUNIA WAJIPANGA KUONGEZA FURSA ZA ELIMU YA JUU NCHINI
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Daniel Mushi, amesisitiza kuwa ujenzi wa kampasi 16 katika mikoa isiyo na Vyuo Vikuu Nchini ni lazima ukamilike kwa wakati ili kufanikisha malengo ya Serikali ya kuongeza fursa za upatikanaji wa elimu ya juu kwa vijana.

