TAARIFA KWA UMMA
Swahili
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Daniel Mushi, amesema kuwa Serikali imejipanga kwa dhati kuimarisha elimu ya juu nchini.

Prof. Mushi ameeleza hayo leo hii Novemba 7,2025 jijini Dodoma wakati wa kikao kazi na viongozi mbalimbali kutoka Vyuo Vikuu na Taasisi za elimu ya juu.