WAZIRI MKENDA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA ZAIDI YA ASILIMIA 55 YA UJENZI WA KAMPASI YA MUHAS MLOGANZILA

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, ameonesha kuridhishwa na hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa ujenzi wa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Mloganzila, ambapo hadi kufikia Desemba 2025 utekelezaji wa jumla wa mradi umefikia zaidi ya asilimia 55, na miradi mingi ikiwa iko mbele ya ratiba iliyopangwa.

Swahili

PROF. DANIEL MUSHI AONGOZA KIKAO CHA KITAIFA CHA USIMAMIZI WA MRADI WA EASTRIP MWANZA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Daniel Mushi, ameongoza Kikao cha Kamati Tendaji ya Kitaifa ya Usimamizi wa Utekelezaji wa Mradi wa EASTRIP kwa ajili ya kujadili maendeleo ya mradi huo pamoja na kuhakikisha maelekezo yaliyotolewa na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia yanatekelezwa kwa wakati.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS