PROF. NOMBO ATAKA KASI NA UFANISI UTEKELEZAJI MRADI WA HEET

PROF. NOMBO ATAKA KASI NA UFANISI UTEKELEZAJI MRADI WA HEET.

 

Taasisi zinazotekeleza Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) zimetakiwa kuongeza kasi ya utekelezaji ili kuhakikisha unakamilika kwa wakati na kwa ufanisi na kuleta matokeo chanya na mageuzi makubwa ya kiuchumi kwa jamii na nchi. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo akiongoza kikao cha 4 cha Kamati ya Kitaifa ya uendeshaji wa Mradi kilichofanyika Jijini Dodoma Julai 09, 2024.

 

Swahili

Watekelezaji Mradi wa EASTRIP Utangazeni Mradi Huu - Nombo

Katibu Mkuu Prof Carolyne Nombo amezitaka Taasisi zinazotekeleza Mradi wa Afrika Mashariki wa Kujenga Ujuzi kwa Mlingano na Uingiliano wa kikanda (EASTRIP) kuhakikisha mradi huo wenye matokeo makubwa yenye manufaa kwa taifa unatangazwa.



Ameyasema hayo katika kikao cha 11 cha Kamati Tendaji ya Kitaifa ya Mradi wa EASTRIP kilichofanyika katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Jijini Dar es Salaam.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS