Tukutane VETA Rukwa na Chuo cha Ualimu Sumbawanga Tushuhudie Historia Ikiandikwa
Julai 16, 2024 ni Siku ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia mkoani Rukwa ambapo Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznia ataweka jiwe la Msingi katika Chuo cha Ufundi cha VETA Rukwa na kuzindua Chuo cha Ualimu cha Sumbawanga



