SERA MPYA YA ELIMU YAWAPA WANAFUNZI FURSA YA KUJIFUNZA KWA VITENDO NA KUJIANDAA KWA AJIRA

Mageuzi ya elimu kupitia Sera na Mitaala mipya yamewawezesha wanafunzi kujiunga na Sekondari za Mkondo wa Amali na kujifunza sbtadi kwa vitendo. Katika picha, wanafunzi wa Shule za Sekondari Baobab na Dar es Salaam katika mafunzo kwa vitendo, hapo tunajenga ujuzi na umahiri katika kazi , kwa jinsi hii wanaweza kuajiriwa kujiajiri na kuajiri.

Swahili

TAARIFA MUHIMU

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imeongeza muda wa Udahili wa Shahada ya Kwanza  katika Vyuo vya Elimu ya Juu Nchini. Dirisha la Udahili awamu hii ya Tatu na ya mwisho litafunguliwa kuanzia tarehe 6*hadi 10 Oktoba, 2025

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS