WIZARA YA ELIMU NA KTO WAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA ELIMU JUMUISHI KUPITIA FDCS

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amekutana na Mkurugenzi wa Karibu Tanzania Organization (KTO), Ndugu Maggid Mjengwa, katika ofisi za Wizara jijini Dodoma kwa mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano katika utekelezaji wa programu mbalimbali za elimu kupitia Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDCs).

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS