Prof. Nombo Akutana na Menejimenti ya Mtandao wa Elimu Tanzania
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo Oktoba 23, 2023 jijini Dar es Salaam alikutana na kufanya mazungumzo na Menejimenti ya Mtandao wa Elimu Tanzania ikiongozwa na Mratibu wa Mtandao huo Ochola Wayoga.\


