Mfumo wa MEWAKA
kuelekea Sera mpya na Mitaala ya elimu 2024
MPANGO WA KITAIFA WA UGHARAMIAJI NA UWEKEZAJI KATIKA HUDUMA YA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA SHULENI
Sera Mpya ya Elimu imejumuisha Mabadiriko yote yanayotokea katika Nyanja za maisha - Festo Siame
Wasimamizi wa mradi wa HEET kutoka katika Taasisi na Vyuo Vikuu 22 washiriki mafunzo ya Kuwajengea uwezo wa kukabiliana na Vihatarishi
Wasimamizi wa mradi wa Mageuzi ya Kiuchumi kwa Elimu ya Juu (HEET) kutoka katika Taasisi na Vyuo Vikuu 22 washiriki mafunzo ya wanajengewa uwezo kukabiliana na vihatarishi katika kutekeleza mradi huo ili kupunguza athari na kutimiza malengo ya mradi.
Mafunzo hayo ya siku tano yanafanyika katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela ambayo yameanza tarehe 4 na yanatarajiwa kukamilika Disemba 8, 2023 Jijini Arusha chini ya uratibu wa Wizara ya Elimu ,Sayansi na Teknolojia.
Mazungumzo ya Sera Mpya ya Elimu Yanaendelea
Mazungumzo ya Sera Mpya ya Elimu yanaendela Afisa Mwandamizi festo siame kutoka Idara ya Sera na Mipango Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
Amefafanua kuwa Sera Mpya imejielekeza kutoa mwongozo wa mchakato mzima wa utoaji wa elimu na mafunzo, imejielekeza katika kutatua changamoto ambazo zimebainishwa kuhusu utoaji wa elimu na mafunzo kwenye Sera iliyo maliza muda wake

