Hotuba ya Waziri Mkenda kwenye Maadhimisho ya Miaka 50 ya NECTA
Prof. Adolf Mkenda akionyesha zawadi ya picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wageni walikwa
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda akionyesha zawadi ya picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wageni walikwa katika Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA). Zawadi hiyo imetolewa na Baraza hilo kwa Mhe. Rais
Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea vitabu vya historia ya Miaka 50 ya NECTA kutoka kwa Prof. mkenda
Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akipokea vitabu vya historia ya Miaka 50 ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) kutoka kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda. Wengine katika picha ni Katibu Mkuu Prof. Carolyne Nombo na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania Dkt. Said Mohammed
Baadhi ya Wageni waliohudhuria Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya NECTA
Baadhi ya Wageni waliohudhuria Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) yaliyofanyika katika Ofisi za Baraza hilo Jijini Dar es Salaam wakifuatilia matukio mbalimbali

Mhe. Samia Suluhu Hasaan akipokea maelezo juu ya namna mitambo mbalimbali ya Baraza la Mitihani Tanzania inavyofanya kazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasaan akipokea maelezo juu ya namna mitambo mbalimbali ya Baraza la Mitihani Tanzania inavyofanya kazi wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Baraza hilo yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam Disemba 16, 2023
Mhe.Samia Suluhu Hasaan akipokea maelezo kutoka kwa watumishi wa Baraza la Mitihani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hasaan akipokea maelezo kutoka kwa watumishi wa Baraza la Mitihani la Tanzania kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na Baraza hilo wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Baraza hilo yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam Disemba 16, 2023
Mhe.Samia Suluhu Hasaan akizindua Mnara wa kumbukumbu ya Miaka 50 ya Baraza la Mitihani la Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hasaan akizindua Mnara wa kumbukumbu ya Miaka 50 ya Baraza la Mitihani la Tanzania wakati wa Kilele cha Maadhimisho hayo yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam Disemba 16, 2023

Mhe.Samia Suluhu Hasaan akizindua Mnara wa kumbukumbu ya Miaka 50 ya NECTA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hasaan akizindua Mnara wa kumbukumbu ya Miaka 50 ya Baraza la Mitihani la Tanzania wakati wa Kilele cha Maadhimisho hayo yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam Disemba 16, 2023

