Shule 96 Kuanza kutoa Elimu ya Sekondari Mkondo wa Amali 2024
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Franklin Rwezimula amesema jumla ya Shule 96 za Sekondari teule zitaanza utekelezaji wa kutoa masomo ya Amali, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mitaala mipya ya elimu iliyoboreshwa.




