MKENDA AKIWASILISHA HOTUBA YA MAKADIRIO YA BAJETI YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2024/2025
Wadau mbalimbali wakifuatilia uwalishwaji wa Hotuba Bajeti ya WyEST
Wadau mbalimbali wakifuatilia uwalishwaji wa Hotuba Bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Bungeni jijini Dodoma leo Mei 07, 2024.

Vipaumbele vya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2024/25
Prof. Adolf Mkenda akiwasilisha Hotuba ya Bajeti Bungeni
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo leo Mei 07, 2024 Bungeni jijini Dodoma.

Dk Said Mohammed akiingia Bungeni kufuatilia uwasilishaji wa Hotuba ya Bajeti
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) Dk Said Mohammed akiingia Bungeni Leo 07, 2024 kufuatilia uwasilishaji wa Hotuba ya Bajeti
Viongozi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wakiingia Bungeni
Viongozi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wakiingia Bungeni leo 07, 2024 kufuatilia uwasilishaji wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo.
Dkt. Amos Nungu akiingia Bungeni kusikiliza uwasilishwaji wa Hotuba ya Bajeti ya WyEST
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) Dkt. Amos Nungu akiingia Bungeni leo Mei 07, 2024 kusikiliza uwasilishwaji wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
Viongozi mbalimbali wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wakiingia Bungeni tayari kusikiliza hotuba ya bajeti
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Franklin Rwezimula (kulia), Mkurugenzi wa Uthibiti Ubora wa Shule Ephraim Simbeye na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bi. Sylvia Lupembe wakiingia Bungeni tayari kusikiliza uwasilishwaji wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo leo Mei 07, 2024.
Prof. Carolyne Nombo na Prof. James Mdoe wakiingia Bungeni tayari kusikiliza uwasilishwaji wa Bajeti ya WyEST
Katibu Mkuu Prof. Carolyne Nombo na Naibu Katibu Mkuu Prof. James Mdoe wakiingia Bungeni tayari kusikiliza uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Mei 07, 2024.

