WIZARA YA ELIMU YATOA WITO KWA HALMASHAURI NA WADAU KUWEKEZA KATIKA KAMPASI MPYA 16 ZA VYUO VIKUU

Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imetoa wito kwa halmashauri na wadau mbalimbali kuwekeza katika maeneo zinakojengwa kampasi mpya 16 za vyuo vikuu nchini.



Rai hiyo imetolewa jijini Dodoma Februari 02, 2026 na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Daniel Mushi, katika kikao cha pamoja kati ya watekekeza mradi na wakurugenzi wa Halmashauri.

Swahili

WIZARA YA ELIMU NA WASHIRIKA WA MAENDELEO WAJADILI UFADHILI WA ELIMU UNAOLENGA MATOKEO

Washirika wa Maendeleo katika Elimu (Development Partners) wamekutana na Uongozi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknojia na Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI jijini Dar Es Salaam kujadili mfumo wa ufadhili wa elimu unaozingatia matokeo (Result Based Financing for Education ( EP4R).



Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, ameongoza ujumbe wa Wizara walioshiriki kikao hicho kilichofanyika tarehe 2 Februari 2026.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS