SERIKALI YATENGA BILIONI 4.6 KWA VIJANA WABUNIFU

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na COSTECH na Benki ya CRDB imetenga jumla ya Shilingi bilioni 4.6 kuwapatia mitaji vijana wabunifu kupitia Mfuko wa Samia wa Ubiasharishaji Ubunifu ulioanzishwa mwaka 2024. Mfuko huo umetambua wabunifu 3,300 nchini, huku 300 wakiendelezwa kupitia MTUSATE, ukilenga bunifu zilizo tayari kuingia sokoni lakini zinakosa mtaji.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS