Mazungumzo yaanza OUT, VETA na FDC kutoa Mafunzo kwa Wafungwa

Imeandikwa na Dira Makini
15 Juni,2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea Taarifa ya Kamati ya Kuunda Mkakati wa Utekelezaji wa Mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Tume hiyo Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Mhe. Balozi Ombeni Sefue.

Hafla ya upokeaji imefanyika Juni 15, 2024 Ikulu Chamwino jijini Dodoma wakati wa hafla ya kukabidhi Taarifa ya Kuunda Mkakati wa Utekelezaji wa Mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai kwa Rais Dkt. Samia.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS