Michuano ya UMISSETA 2024 yaanza kwa kasi katika Viwanja vya shule ya wavulana Tabora.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda Juni 16, 2024 ameshiriki ibada ya kumuaga aliyekuwa Mbunge wa Afrika Mashariki Dkt. Shogo Richard Mlozi aliyefariki Juni 13, 2024

Dkt. Shogo katika uhai wake amewahi kuhudumu katika Taasisi mbalimbali za elimu.
Imeandikwa na Dira Makini
15 Juni,2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea Taarifa ya Kamati ya Kuunda Mkakati wa Utekelezaji wa Mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Tume hiyo Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Mhe. Balozi Ombeni Sefue.
Hafla ya upokeaji imefanyika Juni 15, 2024 Ikulu Chamwino jijini Dodoma wakati wa hafla ya kukabidhi Taarifa ya Kuunda Mkakati wa Utekelezaji wa Mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai kwa Rais Dkt. Samia.
Na
WyEST Tabora
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda amesema Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia itakaa na Ofisi ya Rais -TAMISEMI pamoja na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ili kuona namna bora ya kuanzisha shule za amali ya michezo.
Wanafunzi mbalimbali wanaoshiriki Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) wakimfurahia Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia akiwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI DKT. Charles Msonde katika halfa ya ufungaji Mashindano hayo Juni 15, 2024 mkoani Tabora
Shamra shamra za washiriki wa UMITASHUMTA wakionyesha umahiri mbele ya Mgeni Rasmi Prof. Adolf Mkenda Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia wakati wa uahirishaji wa Mashindano hayo.

Waliopata nafasi ya kuonyesha vipaji vyao ni Kwaya, kutoka Tabora, Ngoma Mwanza na muziki wa Kizazi Kipya kutoka Dodoma ambao wote waliibuka washindi wa kwanza kwenye makundi yao.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda, amewasili katika viwanja vya Shule ya Sekondari Tabora Wavulana, kwa ajili ya kufunga mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania UMITASHUMTA.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda leo Juni 15, 2024 amewasili Mkoani Tabora kwa ajili ya kufunga Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA)

MALAYSIA INTERNATIONAL SCHOLARSHIP (MIS) FOR THE ACADEMIC YEAR 2024/25
1. Call for Application
Waziri wa Nchi, OR - TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa akimuapisha Bw. Huruma Elias Mageni kuwa mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu na kumkabidhi vitendea kazi tarehe 13 Juni, 2024 Dodoma

