UTEKELEZAJI WA MAGEUZI YA ELIMU UTAENDELEA KUWA SHIRIKISHI - PROF. MKENDA

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Tanzania ipo katika mageuzi makubwa ya elimu yanayolenga kuwawezesha vijana kupata ujuzi na stadi zinazokidhi mahitaji ya sasa na ya baadaye.



Waziri Mkenda ameeleza hayo Machi 25, 2026 jijini Dar es Salaam katika Kongamano la Kimataifa la Maboresho ya Sera ya Elimu na Mitaala, ambapo amesisitiza kuwa ajenda ya mageuzi hayo ni kipaumbele cha taifa kisichoweza kupuuzwa wala kuahirishwa.

Swahili

MAKAMU WA RAIS NCHIMBI ATOA WITO WA USHIRIKIANO KATIKA MABORESHO YA ELIMU

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema suala la utekelezaji wa mabadiliko na maboresho yaliyofanyika kwenye Sera ya Elimu na Mafunzo, na Mitaala linahitaji ushirikiano wa hali ya juu miongoni mwa wadau wote wa elimu, taasisi za serikali na zile zisizo za serikali, wazazi na jamii yote kwa ujumla

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS