UFUNGUZI WA KIWANDA MKURANGA KUONGEZA AJIRA NA UZALISHAJI

Ufunguzi wa kiwanda cha Federal Industry Limited kilichopo Mkuranga mkoani Pwani unatarajiwa kuongeza ajira kwa wananchi, kukuza uzalishaji na kuchochea maendeleo ya uchumi wa taifa.



Akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi huo Machi 17, 2026, Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wannnu Hafidh Ameir, amesema hatua hiyo ni muhimu katika kuunga mkono juhudi za Serikali za kujenga uchumi wa viwanda.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS