Mkenda azindua Mwongozo Mikopo kwa wanafunzi Stashahada
# Bilioni 48 zatengwa
# 2023/24 wanafinzi 800 kunufaika
Serikali imetenga Sh 48 bilioni kwa ajili ya kugharamia mikopo ya wanafunzi 8000 wa ngazi ya stashahada katika fani mbalimbali za kipaumbele nchini kwa mwaka wa masomo 2023/24


