Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema kukamilika kwa Mwongozo wa Kitaifa wa Elimu kwa Maendeleo Endelevu 2023/2030

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema kukamilika kwa Mwongozo wa Kitaifa wa Elimu kwa Maendeleo Endelevu 2023/2030, ni ishara tosha kwa dunia kuwa Tanzania imejikita katika kutengeneza mazingira ya elimu yatakayochangia kwa kiasi kikubwa katika Maendeleo Endelevu ya taifa.

Swahili

Mhe. Prof. Adolf Mkenda ahudhuria Hafla ya Uzinduzi wa Majengo ya awali katika Shule ya Shirika la Masista wa Maria Boystown

Mhe. Prof. Adolf Mkenda Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia amemwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Isdor Mpango katika Hafla ya Uzinduzi wa Majengo ya awali katika Shule ya Shirika la Masista wa Maria Boystown iliyopo Kikombo Halmashauri ya wilaya ya Jiji la Dodoma 

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS